|
|||||||||
Salaam kutoka mji mkongwe na ni matumaini yetu kuwa ujumbe huu utawafikia mkiwa wazima. Joto linaendelea na mategemeo makubwa hapa Zanzibar kwa muda wa wiki chache zilizobaki mpaka kufikia tamasha la tano la Sauti za Busara. Tupo katika ofisi za tamasha tukiendelea na maandalizi ya tamasha, kama feni zinafanya kazi kwa muda wa siku nzima kwa kasi kubwa mpaka usiku wa manane.Mtikisiko wa maji kutoka bahari ya hindi na viburudisho toka pande zote za dunia.
Kwa wapenzi wa muziki wa Afrika mtakuwa mmegundua kuwa kila mwaka BBC na fROOTS huwa inachagua vikundi vinne kutoka katika kila bara. Moja kati ya Bara lililochaguliwa mwaka huu bora mwaka 2006 ni vikundi viwili kutoka Afrika magharibi na kimoja kutoka Afrika mashariki mwaka 2007, maksi zilikuwa sawa kwa magharibi 2, mashariki 1. Waliochaguliwa wametangazwa kuwa washindi wa 2008 World Music Awards, Magharibi walipata 3 kwa Afrika mashariki hawakupata kitu.
Kutakuwa na CD itakayotoka kwa miaka yote iliyopita , tunaamini kuwa itakuwa sawa .Lakini kwa ushindi wa muziki wa live. Afrika mashariki itakuwa na nafasi .Tafadhali njoo Zanzibar februari na utakuwa hakimu na utaweza kuhukumu wewe mwenyewe kwa kile utakacho kiona.
Ni mara moja au mara mbili kwa mwaka kwa wasanii kutoka Afrika magharibi kushiriki Afrika mashariki (baadhi ya inchi za ulaya kuna band inayotumbuiza kila baada ya wiki! ) Sauti za Busara itakuwa na vikundi arobaini bora . Vikundi vinavyokuja kutoka Afrika mashariki kama mtakavyoona baadhi ya washiriki 2008, kutakuwa na Kora na ngoni kutoka upande wa magharibi pia watakuwa nasi katika kusherekea na kutupa burudani.
Tamasha la muziki Sauti za Busara |
Uthibitisho wa vikundi arobaini kutoka Afrika mashariki.
![]() |
Bassekou Kouyate & Ngoni ba (Mali) Mshindi wa BBC World Music Awards Album ya mwaka 2007.Kimechaguliwa kuwa Kikundi bora (Afrika) Na ni mgeni bora wa BBC Radio 3 World Music Awards 2008 |
|
Sauti ya Mauritania mwezi wa Augusti na Septemba 2007 walikuwa
|
![]() |
![]() |
Kikundi bora , Bahari ya hindi, L’Ocean Indien Award, 2007 - 2008
|
Jukwaa litakuwa katikakati ya migomba ndani ya ukumbi wa Ngome Kongwe katika Mji Mkongwe. UNESCO – listed World Heritage Site. Maonyesho yataanza kuanzia saa 10 jioni mpaka saa 7 usiku kila siku. Kutakuwa na vibanda vya kuuzia chakula na vitafunwa , muziki wa ndani na nje , nguo na vitu vya asili.
Sauti za Busara inawakaribisha watu wa rika zote.Tamasha la Sauti za Busara limeandaliwa na Busara Promotions ambayo ni taasisi isiyo ya kibiashara iliyopo Zanzibar. KIINGILIO BURE KUANZIA SAA 10 JIONI MPAKA SAA 12:30 JIONI
Tembelea www.busaramusic.org kwa maelezo zaidi
Tunapenda kuwatangazia kuwa sherehe hiyo itafanyika kwa ushirikiano wa muziki live, DJs na sarakasi ambayo itafanyika Fairmont Zanzibar, Matemwe
Fairmont Zanzibar ipo kaskazini mashariki mwa Zanzibar,amboyo imepambwa na fukwe nzuri yenye mchanga mweupe na majabari ya kuvutia.
Kwa maelezo zaidi tembelea: www.Fairmont.com/Zanzibar
For all your travel and accommodation enquiries within Zanzibar and flights anywhere in Africa, we warmly recommend Tabasam Tours at www.tabasamzanzibar.com.
They can arrange airport transfers, book accommodation and reserve 4-day festival passes. For special discounts on some hotels, be sure to mention reference "BUSARA". While visiting Zanzibar you may also be interested in, for example: Beach Hotels & Resorts, Diving and Snorkeling, Dhow and Sunset Cruises, Dolphin Tours, Spice Tours, Stone Town Tour, Prison Island Tour, Jozani Forest Tour, Tanzania mainland Safaris, Car and Motorbike Hire.
KITABU CHA BUSARA 5 |
Kwa muda wa siku na miezi kupita tumekuwa tukiandika na kuandaa kuchagua mchanganyiko wa picha za historia ya tamasha kwa kitabu cha Busara, kitaandaliwa kwa ushirikiano wa Zanzibar Gallery. Shukurani nyingi kwa ZG waliokuwa bega kwa bega kwa kusaidiana kwa kazi hii kwa upendo.
Kuwa na uhakika wa kupata nakala ya (“Busara – Promoting East African Music” ) kitabu hiki kitakacho patikana katika maktaba zote kuanzia Januari. |
BUSARA 5 CD (+ DVD) |
|
Zanzibar Festival Classics itakuwa ya kimataifa Feburuari 2008, shukurani kwa Fourth World Music (UK) Kwa maelezo zaidi: http://www.fourthworld.co.uk/Zanzibar%20Festival%20Classics.html |
WITHOUT WHOM… |
Sauti za Busara 2008 isingeweza kufanyika bila ya udhamini wa : |
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Music Crossroads, fROOTS Magazine, Ubalozi wa Ujerumani, Zanlink, Tabasam Tours, Mercury’s Restaurant, Archipelago Café-Restaurant, Café Foro, Stone Town Café, Alliance Française, DHL, Dhow Countries Music Academy, and www.zanzibar.net Thanks also to: |
|||||||||||||||
BUSARA WEBSITE |
Kwa walio wengi tayari mmegundua , busaramusic.com haipo na haifanyi kazi kwa muda wa wiki mbili . Tunaomba radhi kwa hilo na tunawaahidi kuwa tunalifanyia kazi. Kwa sasa hivi habari na maelezo ya tamasha yatapatikana
Katika :
TAREHE NA MATUKIO YATAKAYOJILI ZANZIBAR ... |
Sherehe itakayo fanyika katika fukwe za bahari East Coast
|
![]() |
Onyesho la Filamu: As Old As My Tongue: Maisha ya Bi Kidude
|
![]() |
Sherehe ya Mwaka Mpya ufukweni mwa bahari
|
![]() |
Salaam na tunawatakia kila la Kheri katika Eid Mubarak,
Kheri ya krismasi na mwaka mpya, afya njema na Busara ijayo 2008.
AHSANTENI
Contact Us |
|
|
Busara Promotions, PO Box 3635, Zanzibar, Tanzania Tel: +255 24 223 2423 or +255 784 925 499 or +255 773 822 294 Find us in Stone Town, between Africa House and Hotel Serena, opposite Amore Mio. |