Mswanu Gogo Vibes
Country Tanzania Genres traditional Website /public/Mswanu-Gogo-Vibes Festival Sauti za Busara 2017 Recordings 📼 Chinyawenga, 2014
Mswanu lina maana ya Uzuri kwa lugha ya kigogo. Kikundi hichi kimeanzishwa mwaka 2007 na Frank Samwata ambae ndie kiongozi wao. Na sasa wapo wasanii watano ambao ni waigizaji, watunzi wa mashairi na wasimulizi wa hekaya za kale. Ala za muziki wanazotumia wao ni zeze, filimbi, marimba na guitar. Wanapiga muziki wa kisasa uliochanganyika na muziki wa kigogo.
Mwaka 2004 alirekodi albamu huko mjini Berlin, nchini Ujermani. Na mwaka 2014 walishiriki kwenye tamasha la Karibu, mwaka 2015 walishiriki tamasha la Marhaba. Pia wameshiriki kwenye matamasha mengine nchini Kenya, Uganda, Afrika ya Kusini, Uingereza, Uskoti, Sweden na Ujerumani.
Mswanu ni kikundi kinachopenda kuelimisha kuhusu muziki wa asili na wanatoa mafunzo ya sanaa tofauti.
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava