Eli Maliki
Country Uganda Genres band fusion Facebook /elimalikimusic Festival Sauti za Busara 2019 Recordings 📼 Hey, 2015; Nakupenda, 2018
Eli Maliki ni msanii mwenye nasaba ya Kenya na Uganda. Eli ni msanii anayepiga muziki wa Soul akichanganya na radha za kiafrika.
Eli alizaliwa katika familia ya wanamiziki, alianza safari yake ya muziki akiwa na umri mdogo katika bendi ya familia, akawa anaimba, kucheza na kupiga ala za muziki. Alikuwa kiongozi wa kwaya ya kanisa, baada ya miaka kadhaa alinza kuimba peke yake (solo Arists) alkianza na shoo yake ya kwanza ya malipo mwaka 2011. Baadae kutoa albamu yake ya kwanza mwaka 2015 ‘Hey’.
Katika harakati zake kimuziki anasema anavutiwa sana Lauryn Hill, Idia Arie, Maxwell na D’Angelo. Anasema ameletwa duniani ili kujifunza, kusomesha na kushea kazi zake katika maonyesho na semina mbalimbali ndani ya Afrika Mashariki na Ulaya. Ameandika muziki na kushea jukwaa na Sautisol, Eric Wainaina na Damian Soul.
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava