Les Frères Sissoko
Country Senegal Genres acoustic roots traditional Festival Sauti za Busara 2011 Bao na Sadio Sissoko walizaliwa toka katika familia ya wanamziki “wakongwe” wa huko Senegali wanamziki hawa wawili walianza kupiga chombo cha kisenegali kijulanacho kama kora tangu wakiwa na umri mdogo wa miaka saba pamoja na hilo. Wanamziki hawa vilevile ni wajuzi wa upigaji magitaa, ngoma, violini na saxophone. Kwa sasa wanaishi nchini Ubeligiji. Les Freres Sissoko kama bendi huchanganya mziki wa asili wakisenegali ambao unatokea katika kabila la Mandingo mchakato huo wakimziki ni kutoka mtindo kama Reggae, Jazz, Zouk na Salsa. Pamoja na kwamba Mziki wao una msukumo mkubwa kutoka katika utamaduni wakisenegali vyombo vya kisasa wanavyovitumia vimeongezea vionjo vya aina yake. Huku wakiongezea nguvu na Komlan Octave katika ngoma na Wouter Van den Abeele apigae violin wanaziki hawa wanne pamoja wanatarajia kutoka burdani yakipekee wafikapo Zanzibar.
With thanks to Communaute française Wallonie-Bruxelles
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava