Muthoni The Drummer Queen
Country Kenya Genres spoken word fusion roots urban Website www.penyafrica.com Festival Sauti za Busara 2011 Recordings 📼 Mambo Bado (2008)
The Human Condition (2010)
Mwanadada mtunzi na muimbaji mwanamashairi mpiga ngoma na mwanaharakati wa maswala ya kijamii Muthoni Ndonga alizaliwa na kukulia Nairobi nchini Kenya. Tayari keshafikiriwa kuwa nafasi ta uongozi katika anga za burudani na maswala ya kijamii Muziki wa Muthoni ni wa kibunifu ambao unachanganya mfuatano wa sauti za kimuziki na mwendo wakimuziki za kiafrika kwakutumia mifano ya kila siku ya jamii za kiafrikakwa kutumia lugha za kiingerenza, kikuyu na Kiswahili. Muthoni vilevile huchanganya mitindo mbalmbali katika muziki wake ikiwemo salsa kwaito, afrorock taarab,rap na R&B huu ni mseto wa kimuziki inspired na mapenzi,mahusiano ya ndoa siasa na maswala ya kiroho wito wa mwanadada katika utunzi wake ni kazi yenye wito hope curiosty and courage na nguvu mseto wamuziki wake una blend tamaduni za kiafrika mashariki na tamaduni za vijana wa kizazi kipya.
With thanks to Fly540
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava