Hanitra
Country Madagascar Genres acoustic Website www.hanitra.com Festival Sauti za Busara 2012 Recordings 📼 Any Aminay (2010)
Hanitra ni mwimbaji na mpiga gitaa kutoka kisiwa cha Madagascar. Misingi ya nyimbo zake unatokana na haiba ya muziki ya Madagascar, pamoja na vionjo kutoka Cuba na Brazil, alichukua nyimbo za asili kwa nguvu na hatimaye kuwakilisha kizazi cha Malagasi. Sauti ya kuvutia ndio iliyomfanya kuwa mmoja kati ya wasanii ambao uchukuliwa kama mwimbo wa taifa wa Madagascar.
Hanitra alianza kuimba na kupiga gitaa alipokuwa na umri wa miaka saba. Mwaka 1979, alishiriki katika shindano la kitaifa ambapo kipaji chake kiligunduliwa rasmi na kujiunga na bendi moja kwa moja ya Lolo Sy Ny Tariny. Alienda Ufaransa akitokea Madagascar. Mwaka 1997 alirudi Madagascar. Kwa sasa anaishi katika kisiwa cha Reunion na ana shauku kubwa ya kuburudika na mashabiki wake wote katika ukanda wa Bahari ya Hindi.
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava