Afrigo Band
Country Uganda Genres band rumba Facebook /AfrigoBand Festival Sauti za Busara 2019 Recordings 📼 Batuuse; Zalwango; Oswadde Nnyo; Jim; Christina; Julie; Bwenkanya; Bagikwongere; Afrigo Batuuse; Abaana Ba; Kukusangana; Vicent; Tugende Mu Afrigo (1975 to date)
Afrigo Band ilianzishwa na Moses Matovu na marehemu Charles Sekyanzi mwaka 1975. Wanacheza mitindo na nyimbo mbalimbali za kwao na kopi. Afrigo Band ilipitia wakati mgumu wakati wa Serikali ya Idi Amin na Obote, wakati wanatoa burudani kwa raia. Afrigo ni bendi yenye miaka 42 ni moja ya bendi kongwe katika ukanda wa Afrika Mashariki. Bendi hii imesharekodi albamu 15 ambazo zinajulikana sana na vijana na wazee. Afrigo Band wameshafanya ziara ya kimuziki katika bara la Asia, Ulaya na Amerika. Onyesho lao la kwanza kabisa katika tamasha la Sauti za Busara litadhihirisha hayo.
With thanks to Africalia
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava