Bismillahi Gargar
Country Kenya Genres fusion roots traditional Festival Sauti za Busara 2011 Recordings 📼 Garissa Express (2010)
Bismallah Gargar ni mchanganyiko wa wanawake wenye asili ya Somalia kutoka Garisa kaskazini mashariki mwa Kenya. Jina la Bismillah linatokana na neno la kisomali lenye maana ya “kwa jina la mungu” (in the name of god) na “gargar” ina maana ya kuwaweka watu pamoja (bringing people together). Kundi lilianzishwa mwaka 2003 lengo la kundi lilikuwa ni kujiwezesha kutokana na baadhi ya sehemu kulikuwa kuna mila potofu za kumkandamiza mwanamke. Albam yao ya kwanza waliipa jina la Garisa Express iliyorekodiwa kwa muda wa miaka miwili ilipitia safari ndefu sana kwenda na kurudi kati ya Garisa na Nairobi. Muziki wao ni wa kiasili na wa kipekee wenye lugha ya kisomali. Bismillahi Gargar walirekodi na vyombo vya kisasa na kuwafanya albam yao ya Garisa Express kuwa ya kujivunia kwa mwaka 2010 nchini Kenya.
With thanks to Alliance Franҫaise de Nairobi & Fly540
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava