Lelelele Africa
Country Kenya Genres coastal pop taarab Website www.rootscampkenya.com Festival Sauti za Busara 2011 Recordings 📼 Mombasa Michikicho and Lololo (2010)
Kundi la taarabu kutoka Mombasa formally known as Diamond Star lilianzishwa mnamo mwaka 1995. Kundi hili lipo makini katika uhifadhi wa lugha ya Kiswahili katika mwambao wa Afrika Mashariki. Kundi hili la wana sanaa saba hutumia ala kama harmonium, violins, tamborin na viombo vya kisasa kama vile magitaa ya umeme na vinanda pamoja na sauti za waimbaji. Lelelele Africa kweli inawakilisha utajiri mkubwa wa mziki wa taarabu ndani ya Kenya. Hivi sasa kikundi hiki kinashugulikia kurekodi kazi zake za zamani katika wadhifu wa digital na utenegenezaji wa video zao ambazo zilirekodiwa kitambo katika mfumo wa redio na kassetti. Sasa wanaendelea na uhifadhi wa tungo za Elchie ambazo zingepotea pasipo kurekodiwa na kuhifadhiwa uzuri.
With thanks to Fly540
Algeria Angola Australia Austria Benin Burkina Faso Burundi Cameroon Canada Cape Verde Comoros Congo Côte d'Ivoire Denmark DRC Egypt eSwatini Ethiopia Far East Finland France Gambia Germany Ghana Guinea Guinea Bissau Iraq Japan Kenya Lesotho Madagascar Malawi Mali Mauritania Mauritius Mayotte Morocco Mozambique Namibia Netherlands Nigeria Norway Pan Africa Pemba Puerto Rico Reunion Rwanda Senegal Seychelles Somaliland South Africa Sudan Suriname Sweden Switzerland Tanzania Uganda UK USA Various Yemen Zambia Zanzibar Zimbabwe
acoustic acrobats afrobeat band blues bongo flava coastal comedy dance dj electro fusion hiphop jazz kidumbak pop reggae rock roots rumba spiritual spoken word taarab traditional urban zenji flava